Mbwana Samatta afunguka hali halisi ilivyo baada ya kuanza kazi Aston Villa
Ligi ikirudi ni kama inaanza upya…” – Alichokisema Nahodha wa #TaifaStars na mshambuliaji wa Aston Villa, Mbwana Samatta kuhusu kusimama kwa ligi kuu nchini Uingereza na ligi mbalimbali duniani huku akiongeza zaidi juu ya suala la klabu za Tanzania kutofanya vizuri kimataifa ambapo pia ametaja ushindani wa ligi kuu nchini kutokidhi viwango vya kuzifanya klabu zetu kushindana kimataifa.
1 view
84
20
4 years ago 00:08:06 1
Fenerbahçe 1 - 0 Kasımpaşa MAÇ ÖZETİ (Ziraat Türkiye Kupası Son 16 Turu Maçı)
5 years ago 00:11:54 1
Mbwana Samatta afunguka hali halisi ilivyo baada ya kuanza kazi Aston Villa
9 years ago 00:50:50 5
Tanzania Vs Malawi 2-0 Second Half
10 years ago 00:04:39 5
Mbwana Ally Samata | TP Mazembe ► Skills Dribbling Goals | 2013-2014 Full HD 1080p